Electronic Bibles / Swahili / Swahili Union Bible / Web / Kumbukumbu la Torati

Kumbukumbu la Torati 14:7

14:7 Lakini, hawa msile katika wale wenye kucheua, na hao waliopasuliwa ukwato; ngamia, na sungura, na kwang'a, kwa kuwa hucheua, lakini hawakupasuliwa kwato, ni najisi kwenu;