
Home / Bible Multilingual / Swahili / Swahili New Testament / Yakobo
Add parallel versions
Delete parallel versions:
Swahili New Testament
All Books
Yakobo
Chapter 2
1. Ndugu zangu, mkiwa mnamwamini Bwana Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, msiwabague watu kamwe.
My brethren, hold not, in respect of persons, the faith of the glory of our Lord Jesus Christ,
2. Tuseme mtu mmoja ambaye amevaa pete ya dhahabu na mavazi nadhifu anaingia katika mkutano wenu, na papo hapo akaingia mtu maskinialiyevaa mavazi machafu.
for if there may come into your synagogue a man with gold ring, in gay raiment, and there may come in also a poor man in vile raiment,
3. Ikiwa mtamstahi zaidi yule aliyevaa mavazi ya kuvutia na kumwambia: "Keti hapa mahali pazuri," na kumwambia yule maskini: "Wewe, simamahuko," au "Keti hapa sakafuni miguuni pangu,"
and ye may look upon him bearing the gay raiment, and may say to him, `Thou -- sit thou here well,' and to the poor man may say, `Thou -- stand thou there, or, Sit thou here under my footstool,' --
4. je, huo si ubaguzi kati yenu? Je, na huo uamuzi wenu haujatokana na fikira mbaya?
ye did not judge fully in yourselves, and did become ill-reasoning judges.
5. Ndugu zangu wapenzi, sikilizeni! Mungu amechagua watu ambao ni maskini katika ulimwengu huu ili wapate kuwa matajiri katika imani nakupokea Utawala aliowaahidia wale wanaompenda.
Hearken, my brethren beloved, did not God choose the poor of this world, rich in faith, and heirs of the reign that He promised to those loving Him?
6. Lakini ninyi mnawadharau watu maskini! Je, matajiri si ndio wanaowakandamizeni na kuwapeleka mahakamani?
and ye did dishonour the poor one; do not the rich oppress you and themselves draw you to judgment-seats;
7. Je, si haohao wanaolitukana hilo jina lenu zuri mlilopewa?
do they not themselves speak evil of the good name that was called upon you?
8. Kama mnaitimiza ile sheria ya Utawala kama ilivyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: "Mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewemwenyewe", mtakuwa mnafanya vema kabisa.
If, indeed, royal law ye complete, according to the Writing, `Thou shalt love thy neighbour as thyself,' -- ye do well;
9. Lakini mkiwabagua watu, basi, mwatenda dhambi, nayo Sheria inawahukumu ninyi kuwa mna hatia.
and if ye accept persons, sin ye do work, being convicted by the law as transgressors;
10. Anayevunja amri mojawapo ya Sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja Sheria yote.
for whoever the whole law shall keep, and shall stumble in one [point], he hath become guilty of all;
11. Maana yuleyule aliyesema: "Usizini," alisema pia "Usiue". Kwa hiyo, hata ikiwa hukuzini lakini umeua, wewe umeivunja Sheria.
for He who is saying, `Thou mayest not commit adultery,' said also, `Thou mayest do no murder;' and if thou shalt not commit adultery, and shalt commit murder, thou hast become a transgressor of law;
12. Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru.
so speak ye and so do, as about by a law of liberty to be judged,
13. Maana, Mungu hatakuwa na huruma atakapomhukumu mtu asiyekuwa na huruma. Lakini huruma hushinda hukumu.
for the judgment without kindness [is] to him not having done kindness, and exult doth kindness over judgment.
14. Ndugu zangu, kuna faida gani mtu kusema ana imani, lakini haonyeshi kwa vitendo? Je, hiyo imani yawezaje kumwokoa?
What [is] the profit, my brethren, if faith, any one may speak of having, and works he may not have? is that faith able to save him?
15. Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula.
and if a brother or sister may be naked, and may be destitute of the daily food,
16. Yafaa kitu gani ninyi kuwaambia hao: "Nendeni salama mkaote moto na kushiba," bila kuwapatia mahitaji yao ya maisha?
and any one of you may say to them, `Depart ye in peace, be warmed, and be filled,' and may not give to them the things needful for the body, what [is] the profit?
17. Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa.
so also the faith, if it may not have works, is dead by itself.
18. Lakini mtu anaweza kusema: "Wewe unayo imani, mimi ninayo matendo!" Haya! Nionyeshe jinsi mtu anavyoweza kuwa na imani bila matendo, naminitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu.
But say may some one, Thou hast faith, and I have works, shew me thy faith out of thy works, and I will shew thee out of my works my faith:
19. Je, wewe unaamini kwamba yuko Mungu mmoja? Sawa! Lakini hata pepo huamini hilo, na hutetemeka kwa hofu.
thou -- thou dost believe that God is one; thou dost well, and the demons believe, and they shudder!
20. Mpumbavu wee! Je, wataka kuonyeshwa kwamba imani bila matendo imekufa?
And dost thou wish to know, O vain man, that the faith apart from the works is dead?
21. Je, Abrahamu baba yetu alipataje kukubalika mbele yake Mungu? Kwa matendo yake, wakati alipomtoa mwanae Isaka sadaka juu ya madhabahu.
Abraham our father -- was not he declared righteous out of works, having brought up Isaac his son upon the altar?
22. Waona basi, kwamba imani yake iliandamana na matendo yake; imani yake ilikamilishwa kwa matendo yake.
dost thou see that the faith was working with his works, and out of the works the faith was perfected?
Displayed: 5021 bytes.
Next part
Next Chapter
Previous Chapter
Enter into the browser of your mobile phone the address: biblephone.net/multilingual